Kipindi cha Take One cha Clouds TV hakifai kwa maadili, kinatangaza Ushoga

Kweli waziri wa Afya atujibu hili, ikiwa inchi yetu inabinga ushoga iweje iwepo tasisi inayosupport ushoga hii ni hoja ya msingi na tunaitaji majibu

Ikiwezekana hata mmbunge yoyote leo aombe muongozo na kuja na hoja ya zarula bungeni tupate ufafanuzi wa kina
mbele ya umma haisapoti ila kimya kimya inasapoti kupitia hicho kitengo muhimbili
 
lakini series za kizungu tunaangalia sana tuu na hizo ndo hazikosagi ushoga,perhaps clouds walikuwa na nia njema tuu ya kuipa jamii awareness kuwa ushoga sasa hv kwa Tanzania ni umekithiri,na ni kama alert kwa wazazi wakae na watoto wawape elimu ya jinsia na uzazi(siwatetei lakini naweka angalizo labda lengo lao halikuwa baya),lakini pamoja na kuwa kuwa kuna uwezekano kuwa nia yao ni njema, wamekosea kurusha kipindi cha kumuhoji shoga akijisifia ushoga(angalau angekuwa anataka kuacha na kuihasa jamii kuhusu madhara ya ushoga na isijiingize katka mapenzi ya jinsia moja) btw waathirika wa madawa ya kulevya huwa wanaojiwa na kipindi kinakuwa kinapeleka elimu muhimu sana kwa jamii,lakini hii ya ushoga inaweza kuleta madhara kwa jamii;simple theory "repetition lead to adoption"
 
Tatizo we are struggling sana keeping up with the modern culture mpaka tunasahau whats right and wrong for us... and we are ready to embrace it in public under the umbrella of raising awareness while in real sense we are nurturing it..
...and that sickens me
 
mwongoza kipindi yupo sahihi kabisa. mwanzoni kasema hili ni jambo ambalo linaendelea katika jamii na kulifumbia macho ni unafiki. N kweli bora weka wazi kabisa maana binafsi nilikua cjui kama kuna kitengo cha kuwahudumia pale muhimbili na bila shaka ulikua hufajamu pia. Huyu shoga katoa rai muhimu sana kwa wazazi kuwa tuwe jirani na wanetu. Mie nimeelimika sana na hakuna haja ya kukaa kimya wakati jambo lishaota mizizi.
well said mkuu, fahamuni kuwa ushoga IPO na mlee watoto vizuri. yule jamaa ni mhanga wa malezi mabovu

kuweni makini na watoto wenu, zile mboga Saba na kuna ya nane pilipili.

Tuache kuupiga vita ushoga kimyakimya, tuupige vita hadharani na kuukemea kwa sauti kuu.

Jamii ya watu hawa tunayo mtaani tunaishi nao na tunawafahamu na tumeishia kuwanyooshea vidole tu ila sidhani Kama kumekuwa na namna na juhudi ya kuwasaidia vya kutosha kisaikolojia ili wabadilike

Clouds wametuonesha kuwa hicho kitu kipo very serious katika jamii yetu, tuipigane na tupambane nayo, TUSICHELEWE KAMA TULIVYOCHELEWA KWENYE VITA YA UCHANGUDOA, MADAWA YA KULEVYA NA NYINGINEZO
 
Serikali ilishasema haitambui mashoga na haitambui vitendo vya kishoga. Sasa kwa nini inawasaidia?? Tumemsikia yule shoga aliehojiwa na clouds TV kuwa kuna kitengo muhimbili kinawasupport na kuwapatia mahitaji mbalimbali. Nani yupo nyuma ya pazia anaetoa huu msaada na serikali ilikubali vipi kama haiwatambui mashoga. Hizo hela bora zingeenda kwenye madawati. Kama serikali inawatambua hawa watu kwa nini haiwatambui malaya?? Sijawahi kusikia misaada kwa malaya na wakati nchi za wenzetu zimehalalisha umalaya na wanalipa kodi.Hawa watu nilitegemea wasitambuliwe kwa namna yoyote ile sasa wanavyowasupport ndo wanavyowapa promo na ushoga ndo unaongezeka. Huwezi kupinga hivi vitendo kwa kumpa shoga ky,condom na lubricants, zaidi unamfanya azidi kuchokonolewa tu.
Nchi yetu imeingiliwa na nahisi kuna watu kwenye background wanapromote huu ujinga. Sijui tunaenda wapi kwa design hii.
 
hii nchi ishakuaga shamba la bib af na ulimbukeni wa ndugu zetu kujifanya umarekani mwing wanaishia kua mashoga.
 
Waseng..... Wko kila kona,dawa Yao ni kichapo tu....mpaka Hao wanao watetea wapewe kichapoo,wataelewaaa tu
 
Hiyo ndo tv anayopenda kuangalia magufuli..
Ni kweli, hata yeye alikiri hivyo alipowapigia simu asubuhi moja miezi michache iliyopita...
CCM wote hii ndio favourite TV yao...
Nianze kwa kumuita Nape Nauye pia niwaite TCRA mko wapi na jamani.

Hivi kumpa airtime shoga kwa kujifanya wanamuhoji kwamba jamii ijifunze labda mnisaidie kitu kuna kitu cha kujifunza kwa mashoga???

Ninavyoona mimi nikama kuwapromote na kujiona wanachofanya kuwa bwabwa iko siku itakubaliwa na jamii. Naomba kujua sheria na kanuni za utangazaji hazitoi katazo lolote kurusha vipindi vyenye negative image kwa jamii kama kumleta shoga na kueleza jinsi anavyofurahia hali ile ni upuuzi wa hali ya juu na niombe na kutoa wito kwa TCRA na waziri wa habari, mchezo na utamaduni kuwachukulia hatua clouds Tv.
Rais wangu JPM hawa wahusika wasipo chukua hatua nikuombe useme nao..!

Nimekeleta na kushindwa kuvumilia upuuzi huu.
Haisaidii kumuita Nape..., huyu ni mlezi wao... Hushangai ndio TV pendwa ya vijana wa Lumumba..., ni TV inayowabeba ccm na mashoga pia..., tafuta TV nyingine iliyothubutu kufanya haya...?!
Huko pia ndiko wanakopata kura zao...
 
TCRA tunahitaji PG Ratings za vipindi vya vituo vya Television. Hatupingi maudhui ya kipindi husika na darasa lililotolewa. Lakini mteja ajue anaenda kuangalia na nani wanaoruhusiwa kuangalia kipindi hicho.
Umesema vyema...
hivi msimamo wa serkali na ushoga ni UPI? na hawa clouds wanachukuliwa hatua gani kwao kina nape...
cc Pdidy
Kipindi kimeshaonyeshwa tayari ..., sasa mpaka sasa hujafahamu msimamo wao....?!
Hawataki Bunge lionyeshwe live..., mpaka sasa hujajua msimamo wao...?!
Mm nimeangalia hiki kipindi mwanzo nwisho....na nimemsikia kila neo..huyu moja hajutii kuwa shoga....mbili anataka kuendelea na kubaki kuwa shoga milele...tatu furaha yake ya kuwa shoga itatimia akifanikiwa kubeba mimba na kuzaa tena mtoto wa kiume.....nne ameeleza kuwa anapenda kubaki hivyo kwa kuwa anaearn money on that status ya kuwa shoga, tano anapata msaada wa matibabu ,kupewa vilainishi, visafisha mdomo,condoms na wipes kutoka NGO yao ipo Muhimbili....so asije mto akakaa kwenye njia ya mwendo kasi au kwenye traffic lights akamwambia "Kaoge acha ushoga..patachimbika"....labda atokee mwanasaikolojia mbobezi haswaa amwambie madhara ya yee kuwa shoga hapo kidogo atamsikia....hivi unapeleka mwanasaikologia hapo kufanya experiment?
Kama kuna kitengo cha kuwahudumia mashoga Muhimbili..., wakapewa na VILAINISHI..., tena ktk Hospitali ya Rufaa ya Serekali yetu sikivu..., mpaka sasa hamjajua msimamo wa Serikali yenu...?!
Kumbuka pia tuna sheria ya makosa ya kujamiana kinyume na maumbile, na ndoa za jinsia moja...

Ila utasikia Serikali yetu inakimbizana na wapinzani kuliko inavyopambana na wauza mihadarati...., mashoga..., ukiwa unaipinga ccm tuu..., wewe ndiye mhalifu namba 1 nchi hii...
 
Nadhani Zama alileta hiki kipindi kwa nia njema tu, sema kosa lake ni kukirusha kipindi cha Ramadhania wakati na yeye yuko kwenye mfungo.
Ameeleza vizuri sana kua hili tatizo liko katika jamii ila tunalifumbia macho na kujifanya kama halipo. Ameonya sana tuwe karibu na watoto, maana wengi kutokana na majukumu tunajisahau, kila kitu anafanya dada, huna muda wa kua karibu na watoto, hata itokee jambo baya, mtoto anakuogopa maana huna muda nae. Unaondoka nyumbani giza, na kurudi giza kwa kuwahi foleni na kasi ya Mheshimiwa wetu ndio kabisa.
Kiasi Fulani tumesahau majukumu yetu ya kifamilia. hata mtoto awe katika hali gani mbaya, utaijua when it is too late. Na kama mjuavyo marafiki, majirani wanao tuzunguka hakuna mwenye uthubutu wa kusema jambo baya la mtoto wa mwenzie, zaidi ya kuangalia, kushangaa na kusema pembeni. Siku ukijua mwenyewe, wanashangaa "kwani ulikua hujui, sisi tulijua unafahamu" ndio maneno yao.
Hawa Mashoga wasingekuwepo kama sio wababa na waume zetu. Kama alivyosema mwenyewe, wateja wake na wababa wenye nafasi zao, wa maana na kazi zao nzuri na wengine wana familia, hili na mimi naliamini, japo wanajificha. Kabla hatujaanza kumuona hafai katika jamii, tuanze sisi tunaowarubuni, tuone kama hataacha ushoga. lakini kama anapata wateja, wenye pesa na nafasi zao, kwanini aache??? Tusiwalaumu, kaongea vizuri kabisa, ili sisi wateja wake, tuache hiyo tabia, wanawake wamejaa tele, unaona raha gani kumbinua mwanaume mwenzio? Tuache kumrushia madongo maana makosa ni ya wale wenye kumfuata tena kwa pesa ili wampate.
Wewe akili yako ni fupi sana kiasi kwamba hauelewi maana ya kuhamasisha na kukemea. Kwa sisi tuliosoma marketing kile kipindi chote lile pung'a lilikuwa linasifia ushoga na kuelezea faida zake na limegoma kuacha ushoga, ile ilikuwa ni advertisement. Baada ya hicho kipindi watakaopenda ushoga ni wengi kuliko watakaochukia. Elimika wewe bibi
 
Nyie watu mko fixated kweli na mashoga!

Can't y'all just let them be?

Ngoja uzae shoga hafu ajitangaze kwa jina lako kwenye TV kuwa anafurahia kuvuliwa chupi na wanaume wenzake na kuingizwa ubboo makalioni...yaani anawafikisha wanaume wenzie kileleni kupitia makalio yake...hapo ndio utajua wanaopinga ushoga wanamaanisha nini...
 
Serikali ilishasema haitambui mashoga na haitambui vitendo vya kishoga. Sasa kwa nini inawasaidia?? Tumemsikia yule shoga aliehojiwa na clouds TV kuwa kuna kitengo muhimbili kinawasupport na kuwapatia mahitaji mbalimbali. Nani yupo nyuma ya pazia anaetoa huu msaada na serikali ilikubali vipi kama haiwatambui mashoga. Hizo hela bora zingeenda kwenye madawati. Kama serikali inawatambua hawa watu kwa nini haiwatambui malaya?? Sijawahi kusikia misaada kwa malaya na wakati nchi za wenzetu zimehalalisha umalaya na wanalipa kodi.Hawa watu nilitegemea wasitambuliwe kwa namna yoyote ile sasa wanavyowasupport ndo wanavyowapa promo na ushoga ndo unaongezeka. Huwezi kupinga hivi vitendo kwa kumpa shoga ky,condom na lubricants, zaidi unamfanya azidi kuchokonolewa tu.
Nchi yetu imeingiliwa na nahisi kuna watu kwenye background wanapromote huu ujinga. Sijui tunaenda wapi kwa design hii.
Tatizo serekali inwaogopa wazee wa west ambao wanasema mashoga wana haki na watendewe haki ili mabasha waendelee kuwacameron,si unajua bado tunatembeza bakuli ili kupewa pesa ya mboga na wazungu,sasa inabidi serekali ijionyeshe kwa wakoloni kwamba inawajali.
 
Kama mabasha wakipungua ata mashoga watapungua.siku hizi watu wameona mtandao pendwa ndio dili na dalili zinaanza taratibu kwa kuanza kuonja t*go za kina dada then wanaamia ata kwa wanaume. Cha msingi sisi wanaume ni kujizuia na tamaa za kijinga na kuiga mambo.
 
Back
Top Bottom