wagaba
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,106
- 603
Badala ya kutuletea habari/matukio, matangazo ya biashara ndo yanatawala kipindi chote cha dakika 15!!!
Habari/matukio yanakuwa mawili au sometimes moja tu. Bora mbadilishe jina la kipindi na kuitwa "Kipindi cha matangazo ya biashara"
Kipindi cha tuongee magazeti mko juu - Pongezi kwenyu!!!
Habari/matukio yanakuwa mawili au sometimes moja tu. Bora mbadilishe jina la kipindi na kuitwa "Kipindi cha matangazo ya biashara"
Kipindi cha tuongee magazeti mko juu - Pongezi kwenyu!!!