Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
Nimekuwa mfuatiliaji wa kipindi hiki kinachorushwa na ITV, kipindi ni kizuri ila nahisi kikianzishwa kuruka live kitapendeza zaidi
Inaonekana kipindi huandaliwa zaidi ya wiki moja hadi mbili nyuma hivyo kinapoteza ladha ya kuwa sambamba na muda na matukio ndani ya wiki hubadilika
Pia lazima kipindi wanakiedit saaana na kuondoa uhalisia
UTV super bland tuwekeen kipindi hiki kiwahoji wageni husika papo kwa hapo!
Inaonekana kipindi huandaliwa zaidi ya wiki moja hadi mbili nyuma hivyo kinapoteza ladha ya kuwa sambamba na muda na matukio ndani ya wiki hubadilika
Pia lazima kipindi wanakiedit saaana na kuondoa uhalisia
UTV super bland tuwekeen kipindi hiki kiwahoji wageni husika papo kwa hapo!