Dr. Mateso anasema kiongozi mzuri ni yule anayesikiliza zaidi kuliko kuzungumza, hapa anachangia hoja kutoka kwa mchangiaji kuwa spika anatumia nguvu nyingi kuzima hoja za msingi, kama vile leo alivyokataa bunge kujadili ishu ya milipuko.
Simwelewi kabisa huyu bana. Mi nadhani kuwa Dr bila critical thinking ni useless. Huyu jamaa anaiabisha hata familia yake. Bana sio analytical kabisa wakuu. What a pity.
Tujazeni Intelejensia wana-JF wengine Tumeadhibiwa na Tanesco
UNAPOFICHA UKWELI NDIVYO INAVYOKUWA. Anaongea ili Mkwere afurahi
Dr. Peter anakosoa ubovu wa serikali kulipa wabunge mapesa mengi na kuuliza nani katufikisha hapo
Mfarisayo hongera kwa ku update watu. Kudos