Huu ni unyama! Wafuate taratibu! johnthebaptistInaelezwa kwamba aliyekuwa waziri mkuu ktk serikali ya rais aliyeondolewa madarakan Omar Alba shir wa sudani amepokea kipigo kutakatifu toka kwa raia wa nchi hyo
View attachment 1083028
Mkuu watu wamechoka wamechoka haswaHuu ni unyama! Wafuate taratibu! johnthebaptist
Lakini si sheria mkononi!Mkuu watu wamechoka wamechoka haswa
Inaelezwa kwamba aliyekuwa waziri mkuu ktk serikali ya rais aliyeondolewa madarakan Omar Alba shir wa sudani amepokea kipigo kutakatifu toka kwa raia wa nchi hyoView attachment 1083028
Ndio nami najiuliza, are they nuts? Hivi itokee CCM inafurushwa na wananchi, halafu Bashite abakize sharubu tu!Hao jamaa ni wapuuzi yani pamoja na pesa zote walizopiga bado hawajakimbia nchi bado wanang'ang'ania humo humo watauwawa kweli
h aha ha ha ha ha ha ha ha watu watamgawana juu kwa juu ha ha ha ha haN
Ndio nami najiuliza, are they nuts? Hivi itokee CCM inafurushwa na wananchi, halafu Bashite abakize sharubu tu!
Nimesoma ila mwanzo ndo nikajua bongo kumbe huko mwisho sio hapaInamaana maelezo hujayasoma?
Sio unadhani,ila ulitamani iwe bongoNimesoma ila mwanzo ndo nikajua bongo kumbe huko mwisho sio hapa
Huu ni unyama! Wafuate taratibu! johnthebaptist
Inaonekana unatumia imani ya dini fulani... kata shingo..... Yanayofanyika hapa kila waziri atapigwa mawe ikitoa kama Sudan? Is tha tjustifiable? Kila waziri anau?Unyama siku zote huonekana kwa mnyonge anapojaribu kujitetea au kutoa hasira zake?? Wanyonge wanaponyanyaswa ni sawa!!?
Hao walikuwa viongozi madikteta, wameua watu na kukatisha ndoto za wengi!!
Wanyonge wameamka, njia pekee ya kutoa machungu ya kuuwawa kwa wazazi, ndugu, marafiki na wengineo wawapendao ni hiyo!!
Hakuna unyama hapo unless useme yeye hakuwa katika serikali ya Dikteta Bashir!!
Mnasahau kuwa ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga??
Inaonekana unatumia imani ya dini fulani... kata shingo..... Yanayofanyika hapa kila waziri atapigwa mawe ikitoa kama Sudan? Is tha tjustifiable? Kila waziri anau?
Nakuelewa sana tena sana. Watu wameteseka sana tena sana kama watu walivyoteseka miaka hii 3 ya hapa. Lakini kila aliye katika serikali hii apigwe mawe in case it happens?Sina imani za dini yoyote kiongozi ila uonevu sipendi kabisa!! Roho huniuma sana ninapoona mtu anaonewa, sasa hao wamekula msoto miaka karibu 30, yaan hapo kama ni kizazi kishaharibiwa chote ndipo muanze kujipanga sasa!!
Pata picha, mlishatoka dingi kakamatwa kauawa kwa sabau tu za siasa na interest za watu! Mmerudi mtaani mnapiga magumashi tu channels zote kwisha, 😠😠😠😡
Sikuachi maanina yaan nakutafutia angle nakumaliza kimyakimya tu!! Halafu Mungu atatueleza mbele ya safari nani mkosaji kati ya aliyechokoza au aliyelipiza!!
Nakuelewa sana tena sana. Watu wameteseka sana tena sana kama watu walivyoteseka miaka hii 3 ya hapa. Lakini kila aliye katika serikali hii apigwe mawe in case it happens?