Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
I know... It should be like this for any person, ila inasikitisha the few who live a normal life are considered lucky because the abnormal has became a norm.
Ni kweli Roulette,
Kwa mila na makuzi yetu, mtoto ambaye hakupata kichapo hata siku moja anaonekana wa ajabu....
Ndiyo maana wengine bado tunawapa kichapo wajukuu pale wanaposhindwa kufuata maelekezo...
Kuna imani kwamba watoto ambao wanaelelewa kwa kudekezwa wengi wao wanaishia kuwa watu wa hovyo..labda ndiyo maana wazazi wengi tunatumia bakora..
Babu DC!!
Last edited by a moderator: