Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,125
- 93,250
Ndio lazima ajue wee ni Mwanaume...umeelezea vizuri sana brother. adhabu iwepo lakin kiasi. ila kuna scenario uko nae kwenye ndoa halaf analeta hizo swags.. hapo makofi lazima
Broo!!
Ndio lazima ajue wee ni Mwanaume...umeelezea vizuri sana brother. adhabu iwepo lakin kiasi. ila kuna scenario uko nae kwenye ndoa halaf analeta hizo swags.. hapo makofi lazima
Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzie wala hamna shida ya makofi. Ukijidai kutulia na mbususu moja ndio matokeo yake hayo. Mwanamke anatakiwa ajue kabisa kuwa anytime unaweza kupigwa chini ukavuta pisi nyingineumeelezea vizuri sana brother. adhabu iwepo lakin kiasi. ila kuna scenario uko nae kwenye ndoa halaf analeta hizo swags.. hapo makofi lazima
Duuuuuuh! Mungu tusaidie[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Punguza Jazba Mbona Mwenyewe kaandika vizuri tu na Ashasema sio lazima Mfanane sasa we Kiherehere chako tu Kujifanya unataka kumuweka sawa wakati mwenyewe kaongelea kwa Upande wake na kasema sio lazima Mfanane haya we Nini unataka labda, Jazba zako ukimwambia wema hivyo Utaambulia mitusi akili ikukae sawa Maana yeye keshasema tena huo ugomvi aliutaka mwenyewe na mwanaume hakuwa mtu wa Hivyo Tatizo unaleta Mihemko sehem siyo
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Kipigo tunachosemea ndio kama cha dada ake mtoa post. Mtu anampiga mke wake kama mwizi aisee. Kuna watu wanajua kupiga jamani.one things nimejifunza mwanamke huwa anapenda kutikisa kiberiti. na hiyo inakuja naturaly.
akikukuta mwanaume uko weak, lege lege.. yaani kila anachofanya mwanaume unaitikia tu yes? lazima akudharau.
adab kidogo itatosha.. sizungumzii ya kuvunjana. ila lazima ajue uwepo wako.. kwamba akizingua ajirekebishe haraka au yamkute ya kumkuta
Nadhani ana shida kwenye ubongo yaani apigwe ili abembelenzwe[emoji119][emoji119]View attachment 1931117
Bora aniogope ila kipigo ni lazima, sijali kama haniheshimu au la! Kipigo tu akikosea yaani, kama hataki atoke.Sasa kama mjeuri si umuache ukachukue mtiifu? Ukiona jeuri ujue amekudharau na kipigo hakifanyi akuheshimu atakua tu ana kuogopa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Oya Master tukupe mitano tenaMi binafsi nilikua nampiga sana girl friend wangu alikua mbishi na kinganizi ila after kumpiga full kumbembeleza na sex nk ila alikuaga ananambia anaenjoy sana nikimpiga sababu namfundisha na namuandaa kua mke bora
ndio maana kuna uchumba. unaishi na mtu ujue kama utaweza kuendeana nae. lakin pia mwanaume lazima ujue weakness zake.. haswa eneo la stress handling. nini huwa kina trigger hiyo kitu.. then from there utajua jinsi ya kukaa nae.Kipigo tunachosemea ndio kama cha dada ake mtoa post. Mtu anampiga mke wake kama mwizi aisee. Kuna watu wanajua kupiga jamani.
Mimi mtu akinipiga hivyo akienda kazini akirudi hanikuti.
i dont know this but hii ni weird things. wanapenda kuishi on edge. haswa wakijua anytime akizingua ni red card.Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzie wala hamna shida ya makofi. Ukijidai kutulia na mbususu moja ndio matokeo yake hayo. Mwanamke anatakiwa ajue kabisa kuwa anytime unaweza kupigwa chini ukavuta pisi nyingine
Unaweza ishi na mtu miaka 10 na usijue tabia yake halisi. Halafu wengi waliokua ni wapenzi wa muda mrefu wakija kufunga ndoa hua inakufa baada ya muda mfupi.ndio maana kuna uchumba. unaishi na mtu ujue kama utaweza kuendeana nae. lakin pia mwanaume lazima ujue weakness zake.. haswa eneo la stress handling. nini huwa kina trigger hiyo kitu.. then from there utajua jinsi ya kukaa nae.
Achana nae huyu alieandika anatakiwa kuwahishwa matibabu milembeDuuuuuuh! Mungu tusaidie[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Me too boo I won't intertain KIPIGO kwa namna yyote Ile and that's maybe wengi hawaolewi/ kuoa/ or even stay single for longKipigo tunachosemea ndio kama cha dada ake mtoa post. Mtu anampiga mke wake kama mwizi aisee. Kuna watu wanajua kupiga jamani.
Mimi mtu akinipiga hivyo akienda kazini akirudi hanikuti.
Kuna msomi na Kuna alie elimikaMi binafsi nilikua nampiga sana girl friend wangu alikua mbishi na kinganizi ila after kumpiga full kumbembeleza na sex nk ila alikuaga ananambia anaenjoy sana nikimpiga sababu namfundisha na namuandaa kua mke bora
Hakuna swala la kidogo ,haitakiwi na iyo mentality Ni potofu na mbovuu. No means no ,mapenzi bila ushamba wa kupigwa na kupigana inawezekanaone things nimejifunza mwanamke huwa anapenda kutikisa kiberiti. na hiyo inakuja naturaly.
akikukuta mwanaume uko weak, lege lege.. yaani kila anachofanya mwanaume unaitikia tu yes? lazima akudharau.
adab kidogo itatosha.. sizungumzii ya kuvunjana. ila lazima ajue uwepo wako.. kwamba akizingua ajirekebishe haraka au yamkute ya kumkuta
Kuna msomi na Kuna alie elimika
#saynotoviolence[emoji123]