kweli tcu imekuja kuuwa elimu ya hi nchi.yani mtu kama wewe nae uko chuo kikuu na umepewa mkopo?
Hata mie namshangaa!
kweli tcu imekuja kuuwa elimu ya hi nchi.yani mtu kama wewe nae uko chuo kikuu na umepewa mkopo?
uko chuo gani Bumija??
Kuna vyenye afadhali tu kama udsm,sua,ifm,IAA.Ila huwezi sema ni vyuo bora.
Tcu wangeamua kuzifata sheria vizuri, naamini tungekuwa na vyuo vichache sana.
Mf. MUM huwa wanakuja kufanya practical SUA kila wikiendi. Huo si utapeli? Tcu wamesajili vipi kozi bila ya maabara?
hapo toa hivyo vyuo viwili vya mwisho
halafu niweke vipi sasa?
Kila mtu anasifia ubora wa chuo chake na si akili na ujuzi wake,hasa madenti wa udsm wanajikweza kua ndo no moja tz
Kila mtu anasifia ubora wa chuo chake na si akili na ujuzi wake,hasa madenti wa udsm wanajikweza kua ndo no moja tz
kiko wapi hicho chuo?
yupo Mkwawa University
UDSM bado iko juu.
ah haaaa haaaa haaaaaaaaaaaaaaZOOM POLYTECHNIC COLLEGE na DATASTAR COLLEGE
bwa mdogo ifm na iaa hizo ni taasisi tu huwezi kuzipa hadhi ya chuo,elewa swali la muanzisha uzi.
Unaweza ku-define Chuo kwa kiswahili?? anyway nenda kwenye top ranked universities in the world utakuta kuna Massachusetts Institute of technology (MIT) then uje hapa useme kwamba chenyewe ni chuo au sio chuo!! acha mambo ya kukremu ngugu yangu.
na vile vile kuna imperial college of london na london university college nk.huyo jamaa yeye anadhan chuo ni lazima kiitwe university pekee.