Elly Andrew
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 413
- 178
Habari za leo wanajamvi,
Naomba msaada wenu katika hili. nahitaji kusoma IT katika ngazi ya advance diploma, nimekuwa nikijiuliza ni chuo gani kitanifaa kwa kozi hiyo ambapo kama nitahitimu nitakuwa marketable katika soko la ajira kutokana na elimu inayotolewa hapo.
Ningependa nianzie ngazi ya certificate kwa sababu sina ujuzi wowote wa IT. nimekuwa navutiwa na chuo kiitwacho Unique Academy cha wahindi pale kisutu je hiki pia vipi? naombeni maoni yenu nataka nibadili fani japo age ndo hvo tena.
Naomba msaada wenu katika hili. nahitaji kusoma IT katika ngazi ya advance diploma, nimekuwa nikijiuliza ni chuo gani kitanifaa kwa kozi hiyo ambapo kama nitahitimu nitakuwa marketable katika soko la ajira kutokana na elimu inayotolewa hapo.
Ningependa nianzie ngazi ya certificate kwa sababu sina ujuzi wowote wa IT. nimekuwa navutiwa na chuo kiitwacho Unique Academy cha wahindi pale kisutu je hiki pia vipi? naombeni maoni yenu nataka nibadili fani japo age ndo hvo tena.