Ndugu zangu kila mmoja wetu hasa mtanzania anajua hali ya nchi kisiasa pamoja na maisha duni ya wananchi kwa sasa. Kwa upande wangu ninaona ili kuondokana na haya matatizo ni kuhakikkisha cdm inapata nguvu zaida kutoka kwetu! Sasa basi ni hivi:
CDM ikipata wabunge zaida ya nusu ya wabunge wote lengo la kuwakomboa wananchi litakuwa it is a matter of days! Ila kama kuingia ikulu bila kuwa na wabunge wa kutosha nafikiri hapa kutatakiwa nguvu ya ziada zaidi!
Kama kupata yote basi ni sawa
Na kama itatokea kupata mojawapo je wana jf mnaona ni lipi kati ya hayo mawili ni bora?
Wabuyaga
CDM ikipata wabunge zaida ya nusu ya wabunge wote lengo la kuwakomboa wananchi litakuwa it is a matter of days! Ila kama kuingia ikulu bila kuwa na wabunge wa kutosha nafikiri hapa kutatakiwa nguvu ya ziada zaidi!
Kama kupata yote basi ni sawa
Na kama itatokea kupata mojawapo je wana jf mnaona ni lipi kati ya hayo mawili ni bora?
Wabuyaga