Supervision
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 265
- 203
Kipi bora kupanda Miti ekari 50 au kuwekeza kwenye hisa?
Kipi bora kupanda Miti ekari 50 au kuwekeza kwenye hisa?
Kipi bora kupanda Miti ekari 50 au kuwekeza kwenye hisa?
3/4 kwenye miti 1/4 kwenye hisa.Wekeza Kote.Half Kwenye Miti Half Kwenye Hisa
Kwa Tanzania hizo apple za kienyeji mikoa au wilaya zipi?Panda apple za kienyeji miaka 3 unatoboa