mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
1. Kuwa mpole nanyenyekevu katika ndoa.
Uwe mnyenyekevu, huna michepuko, huna hawara, ukirudi nyumbani unampa simu mkeo aikague .
Wasap zote mnatumia kwenye simu moja....
Then unajisifu kwa wanaume wenzio kuwa huna mchepuko Wala mwanamke wa nje. Hii ni kwa ajili ya kumuogopa MKE/MPENZ WAKO uliyenaye ili kutunza ndoa
2. Uwe na michepuko lukuki.
Hii uwe unaamini ni kwasababu ya usalama wako pale utakaposalitiwa.. Lakini mkeo awe hajui kitu.
3. Uwe na michepuko wazi wazi na MKE wako awe anajua kuwa wewe ni kiwembe
LIPI BORA KATI YA HAYO.
NAHITAJI USHAURI
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe mnyenyekevu, huna michepuko, huna hawara, ukirudi nyumbani unampa simu mkeo aikague .
Wasap zote mnatumia kwenye simu moja....
Then unajisifu kwa wanaume wenzio kuwa huna mchepuko Wala mwanamke wa nje. Hii ni kwa ajili ya kumuogopa MKE/MPENZ WAKO uliyenaye ili kutunza ndoa
2. Uwe na michepuko lukuki.
Hii uwe unaamini ni kwasababu ya usalama wako pale utakaposalitiwa.. Lakini mkeo awe hajui kitu.
3. Uwe na michepuko wazi wazi na MKE wako awe anajua kuwa wewe ni kiwembe
LIPI BORA KATI YA HAYO.
NAHITAJI USHAURI
Sent using Jamii Forums mobile app