Kipi bora kati ya kuwa na maendeleo ya nchi bila demokrasia au kuwa na demokrasia bila maendeleo ya nchi?

Wadau mmemuelewa mleta mada. kuna ishu behind anaificha , naona anasapoti mambo anayofanya bwana mkubwa kwa kisingizio cha naendeleo
 
Nchi nyingi uonekana kukosa balance ya maendeleo na demokrasia kwenda pamoja na badala yake kimoja uzidi kingine yaan maendeleo yawe juu na demokrasia kuwa chini au demokrasia kuwa juu na maendeleo kuwa chini......nini wazo lako kuhusu hili?
Achakuriri mkuu vyote viwili muhimu na huenda pamoja ili kujenga ustawi was jamii Fulani, acha kupotosha
 
Mkuu kwanza
Nchi nyingi uonekana kukosa balance ya maendeleo na demokrasia kwenda pamoja na badala yake kimoja uzidi kingine yaan maendeleo yawe juu na demokrasia kuwa chini au demokrasia kuwa juu na maendeleo kuwa chini......nini wazo lako kuhusu hili?
Mkuu hivi maendeleo ni nini?
E
 
Maendeleo hayawezi kuja bila Democrasia, hiyo si tu kwa country level bali hata individual level.
 
Nchi nyingi uonekana kukosa balance ya maendeleo na demokrasia kwenda pamoja na badala yake kimoja uzidi kingine yaan maendeleo yawe juu na demokrasia kuwa chini au demokrasia kuwa juu na maendeleo kuwa chini......nini wazo lako kuhusu hili?
Ngoja nikueleweshe kijana..democracy ni sehemu ya maendeleo..ni sawasawa ungeuliza kipi muhimu kati ya kuboresha infrastructure na maendeleo
Soma uelewe....sijasema kitu gani cha muhimu kati ya hvyo...bali uwa hzo hali utokea ndo meuliza kipi bora kati ya hzo hali(state)?
 
Uhuru ni haki ya kwanza ya binadamu, hata Yesu alipokuja duniani alikuja kutangaza Uhuru, lakini bila Uhuru pia hakuna maendeleo, hivi ni vitu viwili mapacha, haciachani
 
Soma uelewe....sijasema kitu gani cha muhimu kati ya hvyo...bali uwa hzo hali utokea ndo meuliza kipi bora kati ya hzo hali(state)?
Toa mifano ya nchi ambazo demokrasia ipo chini lakini uchumi upo juu na kinyume chake ili tujadili.
 
mmmh kweli baadhi ya watazania wana zero IQ ,sasa mkuu ndio umeandia nini,kwanza unatakiwa ujue nini maana ya demkrasia,demokrasia sio kwenye siasa tu,hata mwanao kuamua nini anataka kula nyumbani ni demokrasia,Maamuzi ya mkeo nini anataka avae wakati anatoka ni moja katika demkrasia...

Bila ya kuwa na uwazi wa kufanya mambo,bila ya kuwa na fikra na mawazo tafauti katika kuiendeleza nchi,nchi haiwezi kuendelea....

Demkrasia ni mfumo wa maisha unaotumiwa na nchi ili nchi iendelee na ipate maendeleo kutoka kwa wananchi wake,kila mwananchi ana haki ya kuchangia katika kuleta maendeleo ya nchi...

Uhuru wa kujiamulia,uhuru wa kupata habari,uhuru wa kuchangia,utawala unaoheshimu sheria...na mengi mengineo...hiyo ndio demokrasia...mkuu
Alichoandika jamaa kinawakilisha akili za wa Tanzania walio wengi.
Ndio maana mimi husema kua tatizo la nchi hii ni watu, hawajitambui sababu ya ujinga ulio pindukia.
 
Nchi nyingi uonekana kukosa balance ya maendeleo na demokrasia kwenda pamoja na badala yake kimoja uzidi kingine yaan maendeleo yawe juu na demokrasia kuwa chini au demokrasia kuwa juu na maendeleo kuwa chini......nini wazo lako kuhusu hili?

Toa mifano ya hizo nchi. Utafiti gani ulioonyesha kwamba ukitaka maendeleo sharti uue demokrasia, ama ukiwa na demokrasia nchi yako itakosa maendeleo?
 
Nchi nyingi uonekana kukosa balance ya maendeleo na demokrasia kwenda pamoja na badala yake kimoja uzidi kingine yaan maendeleo yawe juu na demokrasia kuwa chini au demokrasia kuwa juu na maendeleo kuwa chini......nini wazo lako kuhusu hili?
Mkuu demokrasia (uhuru wa mwanadamu) ndio maendeleo ya kwanza kabisa kuliko maendeleo ya vitu
 
Back
Top Bottom