bora nyumba ndogo,,akikufumania hana haki ya kukushtaki! tena akizingua unamtema muda wowote.
Heshima mbele wana MMU
Naomba kuuliza, Hivi kipi bora kati ya hivi viwili.
Kuolewa mke wa pili au kuwa nyumba ndogo. Toa sababu za kukubaliana na mojawapo kati ya hayo.
shosti kula uhondo kwataka vitendo,kuolewa ukimkuta mke mkubwa sio muelewa kisa cha kupigwa juju nini,na pia kuna uwezekano akatafuta nyumba ndogo au akaongeza mke mwingine,ukiwa nyumba ndogo heshimu ndoa ya mwenzio,usitake kujionyesha kua nawe wammiliki mheshimiwa,jilie vitu vyako polepole bila pupa mbona utayafurahia mahabat tu!!
Mwenzenu mie umri umeanza kunitupa mkono, niko.kwenye 30+ menopause ileeee naiona imefika Kibamba yaja kwa kasi. Ni either nibaki kuwa nyumba ndogo au niolewe mke wa pili. Nikisema nisubiri huyo mume wangu peke yangu naweza kujikuta menopause inafika sina mtoto hata wa dawa.
Nifanyejeeeeeeeeee?
Mwenzenu mie umri umeanza kunitupa mkono, niko.kwenye 30+ menopause ileeee naiona imefika Kibamba yaja kwa kasi. Ni either nibaki kuwa nyumba ndogo au niolewe mke wa pili. Nikisema nisubiri huyo mume wangu peke yangu naweza kujikuta menopause inafika sina mtoto hata wa dawa.
Nifanyejeeeeeeeeee?
Naomba kukuuliza swali la kizushi, miaka yoooote hiyo ya nyuma 20+, na kwenye early 30's hivi hukuwahi kutongozwa na mwanaume mwenye nia ya kujenga familia nawe...?
Kama jibu ni ndio ilikuwaje ukaachana nae/nao?
Kosa moja halisahihishi kosa la pili...
Kwangu mimi sioni uafadhali wa option yoyote kati ya hizo...
Ukifanywa nyumba ndogo bado utakosa mamlaka kamili kwa huyo aliyekuweka small house...
Ukiwa mke wa pili, hili litategemea na imani yako na mwenzako kama ni halali kufanya hivyo...
Heshima mbele wana MMU
Naomba kuuliza, Hivi kipi bora kati ya hivi viwili.
Kuolewa mke wa pili au kuwa nyumba ndogo. Toa sababu za kukubaliana na mojawapo kati ya hayo.
. Unakunywa kinywaji gani?????