Kujiwekeza karibu na chuo

Kujiwekeza karibu na chuo

SILLENT KILLER 2

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2024
Posts
822
Reaction score
1,557
Habari wakuu natumaini mko poa. Sasa nilikuwa naomba uchanganuzi/ushauri kuhusu kujiwekeza kufungua labda stationary, mgahawa wa chakula, nguo.

Mimi naishi Kibaigwa, sasa hapa jirani Mtanana wamejenga chuo kikubwa sana na inasemekana kuwa ni chuo kikubwa sana ambacho kitakuwa cha tatu au nne East Africa kitabeba wanafunzi zaidi ya 7,000.

Sasa nikuwa naomba ushauri kuhusu kufungua stationary, mgahawa wa chakula. Kwa experience yenu labda kwa uelewa mliosama hadi chuo na mmeona mnaona kipi kizuri kati ya hivyo viwili kina matter sana

Naomba ushauri.
 
Kama mtaji upo wakutosha weka stationary ndani yake uweke uwakala wakutoa nakuingiza Hela ,line zote na bank zotee,na Cha pili weka mgahawa wakupika chakula kizuri na chips na nyama choma muhimu ,Cha tatu weka glossary maana wanachuo walevi Sanaa Cha mwisho km mkwanja upo wekaa duka la mangi mtaa huo ,na km hela n nyingi Jenga apartment krb na chuo ......
 
Kama mtaji upo wakutosha weka stationary ndani yake uweke uwakala wakutoa nakuingiza Hela ,line zote na bank zotee,na Cha pili weka mgahawa wakupika chakula kizuri na chips na nyama choma muhimu ,Cha tatu weka glossary maana wanachuo walevi Sanaa Cha mwisho km mkwanja upo wekaa duka la mangi mtaa huo ,na km hela n nyingi Jenga apartment krb na chuo ......
asante mkuu
 
Kama hauna mtaji mkubwa weka banda la kuchoma ile mishkaki ya sh 200/300, kachori, ndizi na mihogo ya kukaanga, huku ukikolezea na pilipili ya kuoikwa, walah utawabamba mabrotehrmen na masistaduu wa chuo nyakati za mchana na jioni.
 
Habari wakuu natumaini mko poa. Sasa nilikuwa naomba uchanganuzi/ushauri kuhusu kujiwekeza kufungua labda stationary, mgahawa wa chakula, nguo.

Mimi naishi Kibaigwa, sasa hapa jirani Mtanana wamejenga chuo kikubwa sana na inasemekana kuwa ni chuo kikubwa sana ambacho kitakuwa cha tatu au nne East Africa kitabeba wanafunzi zaidi ya 7,000.

Sasa nikuwa naomba ushauri kuhusu kufungua stationary, mgahawa wa chakula. Kwa experience yenu labda kwa uelewa mliosama hadi chuo na mmeona mnaona kipi kizuri kati ya hivyo viwili kina matter sana

Naomba ushauri.
MIOGO, MIOGO MIOGO ukiona mwanachuo anakuambia weka kachumbari pembeni ujue ni mboga ya kulia ugali mchana
 
Habari wakuu natumaini mko poa. Sasa nilikuwa naomba uchanganuzi/ushauri kuhusu kujiwekeza kufungua labda stationary, mgahawa wa chakula, nguo.

Mimi naishi Kibaigwa, sasa hapa jirani Mtanana wamejenga chuo kikubwa sana na inasemekana kuwa ni chuo kikubwa sana ambacho kitakuwa cha tatu au nne East Africa kitabeba wanafunzi zaidi ya 7,000.

Sasa nikuwa naomba ushauri kuhusu kufungua stationary, mgahawa wa chakula. Kwa experience yenu labda kwa uelewa mliosama hadi chuo na mmeona mnaona kipi kizuri kati ya hivyo viwili kina matter sana

Naomba ushauri.
Mrejesho mkuu uliwahi kufanya hii?
 
😂😂😂 natamani kujifunza mkuu, hapa nataka kujilipua kuweka vimihogo pembeni ya chuo sasa nawaza wale wadada wavaa sketi za mipasuo naweza kutoboa kweli!!
Ndo mlo pendwa huo Mkuu kwa wanachuo😅😅 kama una mtaji mdogo ndo biashara ya kuanza nayo kingine ni stationary kwa mwenye mtaji mkubwa at least
 
Ndo mlo pendwa huo Mkuu kwa wanachuo😅😅 kama una mtaji mdogo ndo biashara ya kuanza nayo kingine ni stationary kwa mwenye mtaji mkubwa at least
Pamoja mkuu, nipo kwenye mchakato wa kupekuwa mawazo huku nikisubiri mtaji, sema ni vile kuendekeza ubishoo tu ila sijawahi kuona kijiwe cha mihogo ambacho hakina foleni mjini.
 
Back
Top Bottom