inategemea na hio clone, kama hujui unachofanya bora tecno. ila kama unajua clone zipo za uhakika
Clone ndiyo nini?
Ndo simu feki au!
sijui hata nkujibuje.
clone ya simu unaweza ita feki kijina (kuitwa samsung) lakini original kivifaa. wanachofanya hawa jamaa wanapunguza vifaa halafu wanauza kwa bei rahisi.
mfano galaxy s4 original ina processor 8 wao wanaeka 4, ina ram 2gb wao wanaeka 1gb, qualitya ya camera wanaipunguza na hata memory unakuta wanakupa 8gb tu wakati s4 original zipo hadi 64gb
mkuu zipo 400,000 hapa naskia mpaka 310,000 zipo ila sijaziona ni 1:1 clone kila kitu
hivi zile camera huweza kufka hata 5mp kweli??? kwa hizi clone za note na s4