mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,287
- 1,855
Akiyamama hii nimeishuhudia live sitakaa niisahau.Kwanza hapa Afrika ndio tusidanganyane na hizo whatsapp groups, mnaanzisha mradi wa opensource, kisha unajikuta commits zote unafanya wewe, halafu watu wame subscribe wengi lakini hakuna anayejitutumua kusaidia, kisha siku mfumo ukionekana umesimama, jamaa wana download balaa na kuanza installations kwa wateja kimya kimya wanapiga hela, hauhusishwi.