Kipengere gani kilikusumbua kukimaster ulipojifunza Programming Language?

Kipengere gani kilikusumbua kukimaster ulipojifunza Programming Language?

Data Structure and Algorithm, hii kitu ilinichezesha sana kiduku ila nilivyojua tu hakuna kipengele huwa kinanipa tabu
 
Habari wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza,naomba tuambiane kipengere kilichokuwa kigumu kwako wakati unajifunza programming language yoyote ile.

Kwa upande wangu kutokana na research niliyofanya na kutambua lugha gani nianze nayo kwa ajili ya projects zangu,niliamua kuanza na Python.Kama kawa nilianza vizuri nikafika hadi kwenye functions, hadi kufikia hiyo point sikusumbuka kiasi hicho japo nilihaso kidogo.

Tatizo lilianzia pale kwenye OOP.Kusema kweli hii point nilistruggle sana.Nasoma maelezo kisha nacopy code inarun vizuri na kutoa output ila sasa nikiicheki code ili kujua why output imekuja hii nachoka.Ila nashukuru nilivuka.

Ningependa kusikia uzoefu kutoka kwenu pia,Karibuni.
napitia comments ili nione watu wanavyokwama kwenye hizi mambo ya codes
 
Mkuu unajua ili kucreate trading bot au Expert advisor inabidi uwe na logic/algorithm yako kwanza kisha ndo utafute mtu wa kucode hio logic(hapa ndo inatumika mql4 au 5 kama programmin lang). Kisha hilo bot inabidi lifanyiwe test za kutosha huku linakua modified endapo weaknesses zitaonekana hadi ifikie hatua lina tolerances nzuri ndipo uanze kulitegemea.

Sasa hio kazi ukimpa mtu asie na uzoefu hautopata kitu unachotegemea. Mie najua kucode kwenye hio metatrader platform lkn ndo hivyo bado natafuta uzoefu kwanza kwenye hii alg trading lakini kama ww tayari una logic na umetrade fx kwa mda na unataka tu ifanyiwe automation hilo halina shida.
Hapo nimekupa sasa,mm nina knowledge upande wa fx ila sina ujuzi wa programming hvo siwezi kuunda EA,kama vp tushirikiane.
 
Nimemaliza Intro, Functions, strings, list, dict, tuples, working with files. Now nmeanza kujifunza hizi web scraping libraries(urllib,BeautifulSoup na Scrapy). Safari yangu ndo ipo hapo.
Unatumia kitabu gani?
 
MQL4 😎 😎 😎

Kumbe ina wateja humu bongo.

Ila usijihangaishe sana kutafuta coder wa hii kitu. Katumie tu zile drag and drop au kapost kazi Upwork ili upate mtu mwenye uzoefu zaidi
Nipe majina ya vitabu vya programing.

Nataka nitengeneze robot la forex.
 
Mkuu unajua ili kucreate trading bot au Expert advisor inabidi uwe na logic/algorithm yako kwanza kisha ndo utafute mtu wa kucode hio logic(hapa ndo inatumika mql4 au 5 kama programmin lang). Kisha hilo bot inabidi lifanyiwe test za kutosha huku linakua modified endapo weaknesses zitaonekana hadi ifikie hatua lina tolerances nzuri ndipo uanze kulitegemea.

Sasa hio kazi ukimpa mtu asie na uzoefu hautopata kitu unachotegemea. Mie najua kucode kwenye hio metatrader platform lkn ndo hivyo bado natafuta uzoefu kwanza kwenye hii alg trading lakini kama ww tayari una logic na umetrade fx kwa mda na unataka tu ifanyiwe automation hilo halina shida.
Naomba kitabu cha mql4 au 5
 
Back
Top Bottom