kipara- matias aliyekuwa rais wa daruso. amewekwa pembeni baada ya wabunge kupiga kula za kutokuwa na imani nae. hilo limeambatana na kujitoa rasmi kwa daruso kama mwanachama wa tahiliso
yap. ndo huyo. mwanangu wengine 2natumia simu. nirahisi kufanya makosa ya kiandishi. hivyo yy na baraza lake lime2pwa kule. daruso board ndo wamechukua uongozi.
Yaani hapo kwa miaka ya karibuni hakujatokea mtu kama mtatiro Julius aliyeko cuf cku hz..Nakumbuka sana enzi hizo serikali haikufanya mambo ya yasiyohitajika then ikanyamaziwa,cku hz mambo yanaenda hovyo hovyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.