Kipara na mvi bora kipi?

Piga para chap ukiwa na pesa weka super black
 
Wakaka wenye vipara Mungu azidi kuwaweka
 
Aisee bora mvi unaweza kupiga super black na wave fresh tu na kuchonga kama loon au diddy kwenye i need a girl.
 
Endelea kutumia magic kunyoa hata nywele za hukoo uvunguni nazo zitaota mvi
 
Kapake breach nyeusi
 
Kitakuwa na sababu zaidi ya moja,mbona Mimi sijawahi tumia hiyo but nna mvi kidevuni,na Niko chini ya 40!!
Niliambiwa zamani nikawa mbishi kama shipa, nilipoanza kuona kidevu kinabadili rangi nikaachana nayo. Angalia watu wengi wana mvi za kidevuni wakiwa vijana kabisa. Kuendelea kutumia hiyo kitu lazima ukae🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…