Kipanya's IQ

Kipanya's IQ

Bunge la kuheshimika amekufa nalo 6 na ameshindwa kuvaa viatu vya 6, Pombe inampelekesha Ndungai. Hajitambu anacheza mziki wa Pombe na Pombe ndio inayoongoza Bunge kutoka Magogoni.
Pombe bia ama pombe nomino?
 
daaaa. baada ya kusoma post za wengine ndiyo angalau nimepata mwanga.
kwanza ilichorwa tarehe 14/09/17. inajulikana kulee bongeni kulikuwa na umbeya wa kutosha. kweri RIP 6. BONGE NIULEVI MTUPU KWA SASA
Fine. Lakini mm nimetafsiri zaidi ya hapo.
Kwamba spika hawezi kukivaa kiatu cha r.i.p Sitta kwa kuwa kalewa madaraka.
Na ulevi huo unaomyumbisha sana hadi asiweze kwenda vizuri ni "Pombe" siyo pombe uijuayo wewe.
 
This bonge what does it mean? Hapo pa sita nimeelewa
anamaanisha lile jengo tukufu pale dodoma limelewa na hii yote ni kwa sababu hakuna tena uongozi mzuri kama aliokuwa nao sitta enzi hizo akiwa spika.
 
Maana yake ni kuwa Sita alipomaliza Muda wake na hatimaye amefariki bunge limekosa mwelekeo sahihi.


Huyo mlevi ni kama Bunge la sasa! Halina mwelekeo kwa kuwa limelewa madaraka. Linaenda ili mradi tuu.

Na hii ni baada ya Maneno ya mhe. Spika J. Ndugai juu ya madaraka yake bungeni.
una bullet proof ??
 
Uspika wa bunge umeishia kwa Almarhum Samweli John Sitta mjukuu/kitukuu wa mtemi Mirambo.
Spika wa sasa amelewa itikadi za chama chake ( chupa ya kijani) hukuakiwakandamiza na kuwakanyaga wapinzani wa serikali (soksi ya buluu)
 
72c20ec1e30389abeabff91b48b2d1e1.jpg
 
Back
Top Bottom