Kipanya: Katuni hii imekataliwa na mhariri

Huu ni ukweli ambao ni mwiba kwa waandishi wa habari waliokiuka misingi na maadili ya taaluma zao kwa ajili ya vijisenti vya wanasiasa......
Wapo waandishi waliokuwa stadi kuwachafua au pengine kufichua maovu ya wanasiasa na ni waandishi hao hao waliochukua jukumu la kubeba kalamu zao mithili ya dodoki kuwasafisha hao hao wanasiasa....kwa maslahi yao huku wakiuacha umma ukiwa njia panda....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…