Kipanya anataka nini JM au CCM ?

Kipanya anataka nini JM au CCM ?

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15,217
Reaction score
25,430
FB_IMG_1593490990497.jpg
 
Hatari sana jamaa kakaba sehemu yote kuchukua nafasi ya vyombo vya dola.
 
Utasikia hakuna uhuru wa vyombo vya habari! Labda wamefinywa wale wanaovuka mipaka.
Chukua 👊.
Mkuu umenea jambo kubwa sana hapa.
Na soon watakuja watu wapiga zumari media zimebanwa wakati huu ujumbe wa masoud ki🐀 unabeba kurasa mia za kuelezea mfumo ulivyo.
 
Chukua 👊.
Mkuu umenea jambo kubwa sana hapa.
Na soon watakuja watu wapiga zumari media zimebanwa wakati huu ujumbe wa masoud ki🐀 unabeba kurasa mia za kuelezea mfumo ulivyo.
Kila sehemu unatumia akili tu utafika nadhani hapa ndio wanapofeli.
 
Sina cha kunena isipokuwa hivi tu..😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom