Mungu ana ukuu wake pia, kila kitu hutokea kwa sababu. Tuliwaza sana ataweza kuliendeleza vyema Taifa, hatimaye IMANI thabiti inarudi kwa bashasha. RIP hayati Magufuli karibu Mama Samia.Mama kaanza vizuri sana. Ila kwa wanaomjua Mama hawakuwa na shaka tangu yalipotokea ya kutokea kuwa sasa Mungu ametupendelea hasa. Kwa kweli tunamshkuru Mungu sana kwa huyu Mama. Ni kwa neema zake tu aliye juu.