Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hakika leo hii imekuwa ni Jumapili njema maishani tangu mwaka 2015 sijawahi kupata siku mzuri na njema na yenye matumaini kama leo.
Hapa chini ni picha iliyo tolewa na Kipanya akionesha mitazamo ya baadhi ya mawaziri wetu wa baraza lililokuwa chini ya marehemu Magufuli.
Hongera sana mama yetu mh Samia tupo nawe kwenye mapambano ya kusafisha nchi yetu.
Hapa chini ni picha iliyo tolewa na Kipanya akionesha mitazamo ya baadhi ya mawaziri wetu wa baraza lililokuwa chini ya marehemu Magufuli.
Hongera sana mama yetu mh Samia tupo nawe kwenye mapambano ya kusafisha nchi yetu.