Kipanya aibuka na Mawaziri baada ya Rais Mama Samia Suluhu Hassan kuanza kazi

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Hakika leo hii imekuwa ni Jumapili njema maishani tangu mwaka 2015 sijawahi kupata siku mzuri na njema na yenye matumaini kama leo.

Hapa chini ni picha iliyo tolewa na Kipanya akionesha mitazamo ya baadhi ya mawaziri wetu wa baraza lililokuwa chini ya marehemu Magufuli.

Kipanya.jpg

Hongera sana mama yetu mh Samia tupo nawe kwenye mapambano ya kusafisha nchi yetu.
 
Ila watanzania hatuna tofauti na vinyonga bila kusahau nyumbu. Kila awamu huwa ainakuja kasi mno mnashangilia weeee baadae ikianza kupoa au kutotimiza kiu yenu mnakumbuka ndo mnaanza kukumbuka uwepo wa CCM
 
Back
Top Bottom