Jemedari Kumbe yupo very fair katika chambuzi zake .
poor referee hii ni aibu kubwa, hakuna mwamuzi wa viwango vya kimataifa Tanzania ni wabeba bahasha tu au wenye mapenzi na timu Yao pendwa .
Hata magoli yaliyokataliwa ni utata mtupu .
Next derby ipendekezwe aletwe refa wa nje ya Tanzania
Game mbili zimeharibiwa na referees tena wadada
poor referee hii ni aibu kubwa, hakuna mwamuzi wa viwango vya kimataifa Tanzania ni wabeba bahasha tu au wenye mapenzi na timu Yao pendwa .
Hata magoli yaliyokataliwa ni utata mtupu .
Next derby ipendekezwe aletwe refa wa nje ya Tanzania
Game mbili zimeharibiwa na referees tena wadada