naweza pata kioo cha tv inch 55?
Je kwa tv ya startimesunawezapata ila ni cha kichina , sio cha 'samsung tena' , ushauri: kubali hasara, nunua TV mpya
TV ya startimes ni ya kichina tayari, so kuweka kioo cha kichina hakuna shidaJe kwa tv ya startimes
Mkuu ukipata nitag, sema ni expensive sana, mimi nnayo TV kwangu mpya kabisa watoto wamegonga kioo, nimeiweka tu hata sijui pa kuanzia, imebidi nivute myingine.Habari ndugu zangu JF
Kioo cha tv yangu kimepasuka. Naomba kuuliza hvi hapa mjini Dar wapi naweza pata kioo cha tv inch 55??
Naomba Msaada ndugu zangu km kuna mtu anajua wapi nitapata. Ahsante