Salih
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 683
- 493
Ndugu zangu Watanzania, ningependa kukosoa kauli ya Spika wa Bunge alioitoa juzi wakati wa ufunguzi wa Kikao na Kamati tatu za Bunge kuhusu "tozo za kadi za simu" kwa hili nina wasiwasi huenda Mheshimiwa huyu alishawahi kuwa muuza nyama Buchani(hana huruma), anasema kama Watanzania wanauwezo wa kumiliki Simu na kununua Pombe basi hata hiyo 1,000/= ni kiasi kidogo mno,
Ningependa kumuuliza yafuatayo...,
>>Anahisi kila anaemiliki Simu amejinunulia?
>>Alishajiuliza kwanini Mitandao imeweka huduma ya NIWEZESHE??
>>Wote wanaomiliki simu ni wanywa pombe??
>>Akili yake ktk kutafuta chanzo cha mapato imeishia ktk tozo za simu
Sina mengi zaidi ila nahisi hela anayopata ktk Vikao mbalimbali na kwakuwa ni nyingi mno basi anahisi hakuna wenye dhiki hapa Tanzania, kwahili nasema Makinda hatufai na bora Mungu amchukue mapema
Ningependa kumuuliza yafuatayo...,
>>Anahisi kila anaemiliki Simu amejinunulia?
>>Alishajiuliza kwanini Mitandao imeweka huduma ya NIWEZESHE??
>>Wote wanaomiliki simu ni wanywa pombe??
>>Akili yake ktk kutafuta chanzo cha mapato imeishia ktk tozo za simu
Sina mengi zaidi ila nahisi hela anayopata ktk Vikao mbalimbali na kwakuwa ni nyingi mno basi anahisi hakuna wenye dhiki hapa Tanzania, kwahili nasema Makinda hatufai na bora Mungu amchukue mapema