Kiongozi wa namna hii hatufai

Kiongozi wa namna hii hatufai

Utafiti wako wote umekamilika kwa mifano ya wanawake wawili tu katika ulimwengu mzima? Kweli uwezo wako wa kufikiri ni finyu mno. Sasa nakuambia, 'No research, no right to speak '. Wanawake unaowajua duniani ni Ana Makinda na Getrude Mongela tu. Poor you!. Unapozungumzia jinsi mara zote haifai kusema, "wanaume" au "wanawake" maana inamaanisha wanaume wote duniani au wanawake wote duniani, labda kama utataja nchi. Lakini pia italeta maana kuwa ni wanaume au wanawake wote katika nchi hiyo. Kwa ustaarabu, jifunze kusema 'baadhi ya wanawake' au baadhi ya 'wanaume'. Sasa kwa hapa, umemjumlisha hata mama yako, na kutufanya tuelewe kuwa "bottom power yake inamdangaya".
Amelichokoza mie simo ila msamaha aombe mara moja!
 
Kweli Nchi ngumu, sijui hawa Viongozi wamevurugwa na nini!!

Viongozi hao siyo kama wamevurugwa,ila ni warafi waliokimbilia kazi wasizokuwa na uwezo nazo.Naamini hawana vigezo kabisa! vya kuwa viongozi na hili ndiyo tatizo la vyeo vya kupeana.:disapointed:
 
Uwanamke wake ndiyo umembeba na yeye kuupata huo uspika lakini si kutokana utendaji wake. Hivi ni vigezo vya kijinga sana na ndivyo vinavyotukost, kumchagua mtu kwa jinsi yake ni jambo baya sana hasa kwenye nafas nyeti kama ya uspika.
 
Nishawahi kusikia kauli kuwa kuna viongoz wanafikiri kwakutumia makalio, nae ni mmoja wapo
 
Back
Top Bottom