Kiongozi wa Mbio za Mwenge huwa anachaguliwaje?

G4rpolitics

JF-Expert Member
Jul 29, 2015
4,335
5,184
Hii ni sehemu ya kuelimishana na kupeana habari. Ndgu wanabodiKuuliza si ujinga jamani, bali nataka kujua, kiongozi wa mbio za mwenge huwa anachaguliwaje? Qualifixation zake? Huwa ni mjeshi au kada wa chama? Na analipwaje?
 
Kwahiyo leo pande za ndiuka, igumbilo, viwengi, kitwiru ni full kubambiana...hongereni ila muwe makini na ndomu hizo maana nyie ni wazee wa IPP- Ipigolo Pika Pombe
Natoka nnje ya mada kidogo leo tunakesha nao hapa Ipogolo iringa,tunagawiwa boksi za kondomu tu hapa.##Tanzaniayangono
##
 
Huwa anachaguliwa kutokana na uwezo wake wa mbio Hasa mbio ndefu.
Hahahaha mkuu, kumbe hata mi ntaweza..kwa sbu kazi yenyewe ni mbio za mwenge, inawezekana qualification ya kwanza ikawa mbio....hiyo kali sina mbavu
 
Vigezo:
1.awe mjeshi/usalama
2 awe kada wa chama
3.uwe na mpiga debe atakaye kupendekeza kwa wakubwa(channel)
4.Kunakupokezana bara na visiwani.
 
unapaswa kuwa umeiva imani ya chama, alafu zamani tulikua tunaambiwa eti mbio zikiisha haipiti muda yule kiongozi anakufa!

Sio kweli mkuu. Nawafahamu viongozi wawili waliokimbiza Mwenge miaka ya 90.Ni marafiki zangu wapo hai
Benson Mpesya na Jackson Msome
 
unapaswa kuwa umeiva imani ya chama, alafu zamani tulikua tunaambiwa eti mbio zikiisha haipiti muda yule kiongozi anakufa!
Hii inawezekana sio kweli mkuu kwa sababu yule Jordan Rugimbana ambaye ni mkuu ww mkoa wa Dodoma alikua ni kiongozi wa mbio za mwenge mwaka 2000 lakin mpaka leo anadunda ndan ya utawala huu wa Nyinyiem
 
Back
Top Bottom