Kiongozi wa Mbio za Mwenge huwa anachaguliwaje?

Hpo tumekupata mkuu...sasa iweje huyu mtu hadi anaenda kufanya ufunguzi wa shughuli mbali mbali za maendeleo lkn elimu hatuiongelei? Kwa hiyo, samahani niulize, ctaki kumkwaza mtu. .. huwa ni mtu hata mbumbu?
We nae uwe unajiongeza elimu sio kigezo cha kukimbiza mwenge, kigezo ni hiyo nafasi unaipataje maana huko wanapokutoa washajiridhisha na elimu yako

Mfano huyo mwanosya kipindi anakimbiza mwenge alikuwa capt wa jeshi naambiwa sasa ni meja
Sasa huwezi kuhoji elemu yake kipindi anakimbiza mwenge unatakiwa uhoji elimu yake kama capt wa jeshi, kwahiyo wanapowatoa wanakuwa washajiridhisha na elimu zao ingekuwa wanawatoa mtaani sawa tungehoji elimu zao

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
hivi mwenge una undwa na vitu gani hasa maana kama ni mabati/chuma peke yake kwanini tusitengeneze ya kila wilaya ili kupunguza garama za kukimbiza mwenge
Umetisha mkuu, kila wilaya iwe na mwenge inawezekana mbio za mwenge zikatumia siku moja tuu. Nimekukubali mkuu.
 
unapaswa kuwa umeiva imani ya chama, alafu zamani tulikua tunaambiwa eti mbio zikiisha haipiti muda yule kiongozi anakufa!
Ni kweli, viongozi wengi wa mbio za mwenge, huwa hawana maisha marefu. Kwa uchunguzi wangu mimi, vifo vyao huwa vinatokana na maradhi ya kifua. Sasa nadhani ni ule upepo mkali juu ya gari kwa muda mrefu, pia na ule moshi na sio vinginevyo.
 
Mimi nilikuwa nafikiri kwamba mwanajeshi wa jeshi letu la Tanzania, hatakiwi kuonyesha itikadi Na mlengo Wake wa chama Cha siasa kwa kuwa yeye Ni mtumishi Na Mali ya serikali, je Ni vipi hapo kwa sasa?
 
Mwenge hauna tija Kwa Taifa hili zaidi kupoteza mabilion ya tsh

Ova
 
Mada hii ni ushahidi kuwa tatizo la ajira lipo.
Hadi makamanda wa magwanda a.k.a wazee Albadir wanaulizia mchongo wa kukimbiza mwenge!
 
Back
Top Bottom