Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,330
Huu ni ujumbe wa wazi ninaoupeleka kwa Dr Mpango , ambaye ni Makamu wa Rais wa Tanzania.
Tangu itokee sintofahamu ya kutoonekana kwake, Mh huyu alijitokeza kwa mara ya kwanza Kanisani , jambo lililoshangaza wengi , Sisi wengine tulitarajia labda atokee ofisini kwake au kwenye majukumu mengine ya kitaifa
Sasa kwa kiongozi ambaye watu wanatilia shaka afya yake anapoonekana mara kwa mara makanisa badala ya Ofisinii kwake , Tafsiri inayokuja ni kwamba , aweza kuwa mgonjwa kweli na yuko makanisani kutafuta Uponyaji , maana haiwezekani kiongozi mwenye afya njema kutoonekana Ofisini kwake .
Tangu itokee sintofahamu ya kutoonekana kwake, Mh huyu alijitokeza kwa mara ya kwanza Kanisani , jambo lililoshangaza wengi , Sisi wengine tulitarajia labda atokee ofisini kwake au kwenye majukumu mengine ya kitaifa
Sasa kwa kiongozi ambaye watu wanatilia shaka afya yake anapoonekana mara kwa mara makanisa badala ya Ofisinii kwake , Tafsiri inayokuja ni kwamba , aweza kuwa mgonjwa kweli na yuko makanisani kutafuta Uponyaji , maana haiwezekani kiongozi mwenye afya njema kutoonekana Ofisini kwake .