Kinywaji kipya

Ambassador

JF-Expert Member
Jun 2, 2008
933
75
Kama wiki tatu zilizopita nilikuta taarifa ya habari za biashara ya TBC ya saa 2 usiku inaishia. Kuna kinywaji kipya kinachotumia maziwa na vanilla ambacho kilikuwa kimezinduliwa, ila sikuweza kunote ni kinywaji gani na kimezinduliwa na kampuni gani. Ninachokumbuka tarifa ilisema kinywaji hicho kinatumia vanilla toka Uganda. Kama kuna yeyote mwenye taarifa zaidi kuhusu kinywaji hicho naomba anifahamishe.
 
Back
Top Bottom