Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,119
- 1,024
Fuata maelekezo kwenye chupa pale .Ilikuaje Redbul ipoteze uhai wako?
Azamu enegy drink ni nzuri kuliko mo energy kwa sababu nikinywa azamu energy najisikia vizuri tu ila mo inanipa shida sana kwenye viungo
Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
Fuata maelekezo kwenye chupa pale .
Ukishakunywa energy hiyo kaa masaa mawili au zaidi ndo ukalale
Ukinywa na kwenda kulala wakati huo huo utazikwa .kalala tu kafa mojakwa moka
Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
hivi mnapokunywa hayo madudu mnapata nini ?
sidhani kama issue ni Mo, hivi vinywaji vyote vya energy sio vizuri unaweza kupata matatizo makubwa ya afya. ila Mo naye bidhaa zake viwango anavijuwa mwenyewe hata maji ya kunywa tu chupa zake na seal ni quality mbaya labda ndio njia ya kuongeza faida sijakuwa mshabiki wa bidhaa zake.Bora wewe umeliona hili
Hatumii kabisaNina hakika hata MO hatumii hiki kinywaji
Una matatizo gani hadi unywe bidhaa hiiHabari waungwana, jana nilinunua kinywaji cha MO EXTRA nikanywa.. Baada ya muda fulan nikaanza kujisikia tofauti...
Maumivu kiasi upande wa moyo kisha yakapotea...
Maumivu ya abnomial hasa upande wa kulia kupanda juu hado katikati ya kiuno na ubavu wa mwisho.... Usawa wa figo
Uvivu katika kufikiri ilhali najisikia uchangamfu kiasi....
Kuna aliyewahi kujisikia hali hii baada ya kutumia hiki kinywaji?
Wajuvi wa afya mna maoni gani juu ya kilichonisibu?.. View attachment 1145914
Moyo kwenda mbiyo, et ceterahivi mnapokunywa hayo madudu mnapata nini ?
Alishafariki huyo jamaa.Una matatizo gani hadi unywe bidhaa hii
π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°Alishafariki huyo jamaa.
Ni mnywaji mzuri wa hivi vinywaji.... Azam energy... Dragon...
Ila hiki Mo energy ndio kimeniletea hizi strange feeling
Angalia Profile yakeπ°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°
Hayo ma energy yanaua ghafla tusiwe mbishi.mnatuponda wanywa energy,wakati nyinyi ni walevi wa pombe.
ukikuta mlevi anaichanganua pepsi au energy unaweza sema"My God nakufa kesho".
Ushawahi kuambiwa usinywe coka zaidi ya mbili kwa siku? Tafakari chukua hatuaNyie watu kahawa mnakunywa mpaka basi,unaogopaje caffeine ya kwenye energy drink?
Coca cola ina kiasi kikubwa cha caffeine kuliko redbull,ila ninawashangaa mnapozungumzia madhara ya hizo energy drink kwa kuogopa cafeine na wakati mnahalalisha soda na kahawa za vijiweni!
Huu ni umbumbumbu na matokeo ya elimu duni.
Hatari ya energy drink ni kiwango cha sukari iliyomo.Hayo mambo ya caffeine kama ni hatari,basi epuka unywaji wa soda,kahawa,cocoa,Milo,ulaji wa chocolate,na energy drink zote.