Hivi hawa walinzi wa viongozi huwa wanfanya kazi gani?? Hii ni hatari sana, mtu mwenyewe ashasema kachoka, bado wanamwacha akae karibu na masufuria yenye maji ya moto...... Hebu fikiria kichwa cha habari cha gazeti, "WAZIRI MKUU WA JMT AANGUKA JIKONI NA KUUNGUA NA MAJI YA MOTO AMEKIMBIZWA SA KWA MATIBABU" italeta maana kweli kwa wana usalama?