Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,971
Kuna baba mmja alimuaga mkewe anaenda salon kunyoa nywele za sirini.
Aliporudi home akamwonyesha mkewe ,akamsifia sana huyo mmewe kwamba kanyolewa vizuri, na akamwomba mumewe amwelekeze na yeye akanyolewe.
mume bila kinyongo akamwelekeza.na akamwambia alilipa alf 20
Mdada wa watu alipofika akanyolewa vizuri tu alipomaliza akatoa alf 20.kinyozi akamwambia ni alf 40, mdada akauliza kwa nini mbona mumewe alikuwa hapo muda mfupi alilipa alf 20?
AKAAMBIWA MUMEO SI ANAO MSHIKIO???????
Aliporudi home akamwonyesha mkewe ,akamsifia sana huyo mmewe kwamba kanyolewa vizuri, na akamwomba mumewe amwelekeze na yeye akanyolewe.
mume bila kinyongo akamwelekeza.na akamwambia alilipa alf 20
Mdada wa watu alipofika akanyolewa vizuri tu alipomaliza akatoa alf 20.kinyozi akamwambia ni alf 40, mdada akauliza kwa nini mbona mumewe alikuwa hapo muda mfupi alilipa alf 20?
AKAAMBIWA MUMEO SI ANAO MSHIKIO???????