kinyozi kinaambukiza ukimwi ?

frank wakug

Member
May 26, 2012
6
0
eti wadau km ktk kunyoa kinyozi mashine ikamkata mtu ambaye n muathirika, je kirus hukaa kwa mda gani? nje.
 
Kirusi hakiwezi kukaa chenyewe zaidi ya sekunde tano, labda kiwe kwenye mazingira ya damu,, ukimwi huambukizwa kama kunakua na direct contact na muathirika,,, mashine haiwezi ambukiza ila huwa wanashauri iwe stererized ili kuzuia na magonjwa mengine kam ngoz, mmba etc
 
Hizo ndude salon huwa wanazo ila cha ajabu huwa ziko off mda wote yaani yapo kama mapambo au yanakula sana umeme??
Kirusi hakiwezi kukaa chenyewe zaidi ya sekunde tano, labda kiwe kwenye mazingira ya damu,, ukimwi huambukizwa kama kunakua na direct contact na muathirika,,, mashine haiwezi ambukiza ila huwa wanashauri iwe stererized ili kuzuia na magonjwa mengine kam ngoz, mmba etc
 
eti wadau km ktk kunyoa kinyozi mashine ikamkata mtu ambaye n muathirika, je kirus hukaa kwa mda gani? nje.
uwezo wa kuambukizwa upo kwa sababu kirus akiwa nje ya damu huwa anajibadili na kuwa katika hali ya INACTIVE lakn akishaingia kwny damu au katika ktu chochote kinachosapoti yeye kuishi basi huwa ACTIVE Na kuendeleza mashambulizi

"HIV VIRUS CAN EXIST AS LIVING&AS NON LIVING" na ndio mana imekuwa ngumu kupata dawa za magonjwa yanayosababishwa na virus kwa sababu ukimeza dawa ..virus anajigeuza anakuwa non living kwa hyo anapishana na dawa.
 
Back
Top Bottom