kinyozi anyolewa!!

kinyozi anyolewa!!

Mdudu Wa Masala

Senior Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
134
Reaction score
79
Jamaa kaingia kwa kinyozi
na
mtoto,akaomba anyolewe
nywele na ndevu.
Alipomaliziwa
akasema mtoto
pia anyolewe,akaaga
kuwa
anaenda dukani
kumnunulia
mtoto viatu. Masaa matatu
yakapita
jamaa
bado haonekani.Kinyo zi
akamwambia mtoto,"Oyaa
babako amekusahau?"
Mtoto
akajibu,"Yule sio baba
yangu...mi nilikuwa napita
hapo nje,akanishika mkono
akaniambia tuingie hapa
tunyolewe bure!"
 
Fiksi man huyoo kila mtu ana staili yake ya kutoka haha kanichekesha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom