cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 653
- Thread starter
- #21
Mama ashura na ungozi wa mwenyumba nisaidie nimpate mpangaji wako, nawasiwasi hata aliyemuandikia barua hii hamjui vizuri!!!!!!
teh teh teh, dah dunia inamengi kwakweli... Anway pole chief, ulimuamini chapchap, bt utaratibu wa ajira unaeleweka, details za muajiriwa kwa muajiri wake muhimu(full adress), kama hukufuata hayo basi nawe ni jipuHabarini wadau,naleta mrejesho kinyozi nilimpata lakini chamoto nilikiona kwani kakimbia na hela na madeni ya chakula na kakopakopa kwa watu sana baada ya kunyoa wiki mbili kaacha kibegi cha mgongoni kuna vitu vya ajabuajabu atakaemuona anijulishe ntamalizana nae mwenyewe,najua ntampata tu,ila kwa ustarabu tu aniletee hela yangu aendelee na yake
teh teh teh, dah dunia inamengi kwakweli... Anway pole chief, ulimuamini chapchap, bt utaratibu wa ajira unaeleweka, details za muajiriwa kwa muajiri wake muhimu(full adress), kama hukufuata hayo basi nawe ni jipu
ooh for sure, maana mtu hawezi toroka kirahisi kama taharifa zake ni sahihiKila kitu kipo kama unavyoona hapo sasa mwenyekiti ndiyo nae nataka anioneshe huyo mtu aliyemuandikia kama shayupo mtaani kwake na yeye awajibike kwani atakuwa amepewa rushwa
ooh for sure, maana mtu hawezi toroka kirahisi kama taharifa zake ni sahihi
Daaaaaaah! kweli ni kinyozi huyu mkuu, kakunyoa kabisa na madeni Juu!Habarini wadau,naleta mrejesho kinyozi nilimpata lakini chamoto nilikiona kwani kakimbia na hela na madeni ya chakula na kakopakopa kwa watu sana baada ya kunyoa wiki mbili kaacha kibegi cha mgongoni kuna vitu vya ajabuajabu atakaemuona anijulishe ntamalizana nae mwenyewe,najua ntampata tu,ila kwa ustarabu tu aniletee hela yangu aendelee na yake
Daaaaaaah! kweli ni kinyozi huyu mkuu, kakunyoa kabisa na madeni Juu!
Anyway pole sana ndugu. Issue hapo hizo particulars zake ni za kweli?
Kula nae sahani moja huyoAliyempa barua hiyo naimani anamfahamu zaidi!!