Kinyesi chako

Kinyesi chako

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,967
Reaction score
13,400
Mkozenu safarini kuelekea Kisiju,kufika sehemu Dereva akacmamisha gari ili mkachimbe dawa pia mkamkuta mkazi wa pale naye alikuwa anajisaidia alivyomaliza akachukua kinyesi chako na kukiweka kwenye mfuko wa Rambo na ww unamuona je?utarudi umùulize jamaa kinyesi chako anataka kukifanyia nn au utawahi kwenye Bus,maana Kondakta anapiga kelele
 
Du mimi nina Imani nitapanda zangu basi niendelee na safari, unajua njaa imeingia nchini labda anawapelekea mbwa wake.
 
kimtokacho mtu hakimtii unajisi, wacha jamaa aendelee na mbwembwe zake nami na safari yangu (baridi)
 
mkozenu safarini kuelekea kisiju,kufika sehemu dereva akacmamisha gari ili mkachimbe dawa pia mkamkuta mkazi wa pale naye alikuwa anajisaidia alivyomaliza akachukua kinyesi chako na kukiweka kwenye mfuko wa rambo na ww unamuona je?utarudi umùulize jamaa kinyesi chako anataka kukifanyia nn au utawahi kwenye bus,maana kondakta anapiga kelele

kinyesi chako na wewe bana aaaarrghhh!
 
hii menu mkuu inabidi wakuongezee mshahara tu. dah!
Mie nimeomba wanipunguzie mshahara wangu maana mbwa na paka wangu kila siku wanataka mambo ya Nandoz/steers 3x a day nataka na wao wale viazi/mihogo kama mie,kwahiyo waknpunguzia cntokuwa na huruma nao
 
Mkozenu safarini kuelekea Kisiju,kufika sehemu Dereva akacmamisha gari ili mkachimbe dawa pia mkamkuta mkazi wa pale naye alikuwa anajisaidia alivyomaliza akachukua kinyesi chako na kukiweka kwenye mfuko wa Rambo na ww unamuona je?utarudi umùulize jamaa kinyesi chako anataka kukifanyia nn au utawahi kwenye Bus,maana Kondakta anapiga kelele
Huyo jamaa atakuwa Basha a.k.a Mende atakuwa ananusa na kuwaza anaku......lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom