Kaka
JF-Expert Member
- Nov 22, 2006
- 745
- 373
Salaam wakuu
Uzi huu ni mahususi kwa waliosoma elimu ya sekondari kidato cha nne na au sita katika shule ya sekondari ya Kinondoni Muslim. Lengo hasa ni kutambua na kuheshimu mchango wa shule hii kitaaluma na katika maisha yetu kwa ujumla.
Vile vile tutajifunza kutoka kwa alumni wa mashule mengine namna tunavyoweza kuchangia maendeleo ya kitaaluma katika shule hii kwa kuwa hapa tulipo sasa ni sehemu ya mchango wa shule hii.
Tukumbushane!
Uzi huu ni mahususi kwa waliosoma elimu ya sekondari kidato cha nne na au sita katika shule ya sekondari ya Kinondoni Muslim. Lengo hasa ni kutambua na kuheshimu mchango wa shule hii kitaaluma na katika maisha yetu kwa ujumla.
Vile vile tutajifunza kutoka kwa alumni wa mashule mengine namna tunavyoweza kuchangia maendeleo ya kitaaluma katika shule hii kwa kuwa hapa tulipo sasa ni sehemu ya mchango wa shule hii.
Tukumbushane!