Kinondoni Muslim High School Alumni

Kinondoni Muslim High School Alumni

mkuu ile nayo ni muslim na ipo kinondoni.


Mimi siyo zao la shule za aina hii.

Ni muslim ila sio kinondoni muslim!! Kwako wewe X na kuzidisha ni sawa? Kinondoni muslim nijina la shule! Haikuitwa hivyo sababu ya waislam!!..kama na hapa hujaelewa basi utakua na ubongo wa panzi!!!
 
Hii ndo shule iliyokuwa na idadi kubwa ya mashori wakali Dar nzima.

Kwa haraka haraka nawakumbula Leyla, Kuluthum, Rehema, Zena, na Nina.

Cc: The Boss

Kaka kuna sheb na forodhani pia kulikuwa na watt wazuri hatare
 
Last edited by a moderator:
Ni muslim ila sio kinondoni muslim!! Kwako wewe X na kuzidisha ni sawa? Kinondoni muslim nijina la shule! Haikuitwa hivyo sababu ya waislam!!..kama na hapa hujaelewa basi utakua na ubongo wa panzi!!!

sawasawa X kinondoni muslim..
 
sijishaui kiroboto21 nilikuwa namjibu mwenzio aliyeniuliza swali.

Hivi umenijibu au umeniuliza swali?? Mshamba huwezi umevamia mada za wajanja weka uzi wa shule yako kigulunyembe haya ya mjini huyawezi utaishia kuuliza uliza tu na kutupotezea muda
 
Last edited by a moderator:
Ni muslim ila sio kinondoni muslim!! Kwako wewe X na kuzidisha ni sawa? Kinondoni muslim nijina la shule! Haikuitwa hivyo sababu ya waislam!!..kama na hapa hujaelewa basi utakua na ubongo wa panzi!!!

........no need to be harsh.....
 
Hivi umenijibu au umeniuliza swali?? Mshamba huwezi umevamia mada za wajanja weka uzi wa shule yako kigulunyembe haya ya mjini huyawezi utaishia kuuliza uliza tu na kutupotezea muda

Kashaelewa aiseee
 
Kaka kuna sheb na forodhani pia kulikuwa na watt wazuri hatare
Inategemea kipindi hicho wewe wapi Upanga, Oysterbay, Kariakoo, Kisutu, Kinondoni, Mikocheni, sababu kuna vìjana wa maeneo mengine walikuwa hawafiki viwanjani.
 
Hivi umenijibu au umeniuliza swali?? Mshamba huwezi umevamia mada za wajanja weka uzi wa shule yako kigulunyembe haya ya mjini huyawezi utaishia kuuliza uliza tu na kutupotezea muda


no wonder kweli wewe ni zao la Kinondoni muslim
 
maskini wee mada imebakwa, mtoa mada pole sana
 
Inategemea kipindi hicho wewe wapi Upanga, Oysterbay, Kariakoo, Kisutu, Kinondoni, Mikocheni, sababu kuna vìjana wa maeneo mengine walikuwa hawafiki viwanjani.

Kijitonyama aisee
 
Hapa hapanihusu nimekuja Dar,mwaka Jana,nimefikia Gongolamboto
 
mashori wakaliiii, disco ndo waandaaji, watoto wa kishua wenye hela lakini watukutu walishindwa shule kama shaban robert, mzizima , walienda ulaya wakafail wamerud wasio na akili ndio wanaletwa pale..... it was so nice na ukitaka burudan ni noma maconcert ya california dreamer na bills watoto wa kinondon ndo walianza andaaa si clouds wala mtu yoyote yule!!!!
 
Back
Top Bottom