josephmeela
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 244
- 19
Na bado watafukuzana sana
Hawa jamaa wasipobadilika, watatufikisha pabaya,washapanga mbinu zote za kurudi madarakani, nashangaa naona jeshi lishaanza shirikishwa, nina wasiwasi yale ya kenya yatafika kwetu, kwani hayo mabavu yao watu hawatakubali, ndo hapo machafuko yatakapotokea, na ukizingatia elimu zero, miundo mbinu zero, usafiri wa anga ni tetra 0, yani tunaishi kwa kudra ya allah tu, kuna mambo ambayo ndo yanaharibu jamii haya ndo yapo juu, mf. Sembe, pembe za ndovu manake tumekuwa vinara, mambo muhimu ya kunyanyua uchumi wetu vishauwawa vyote, lakini tulivyorogwa na kurogeka cubically, watu bado tunao hao hao na kuwapigia vigelegele, sisi ni wa kuzidiwa na msumbiji, rwanda kweli, aibu sana, na kutokana na mfumo wao ulivyo hata akija huyu jm bado hatafanya lolote, mamilioni yatapotea zaidi ya escrow, yatakuja zaidi ya escrow etc na hakuna atakayefanywa lolote
Aondoke huko mzee wa watu keshazeeka,siasa ya sasa si ya miaka ile,ooohoo hiki ni kizazi cha twita facebok..ni kizazi korofi mwishowe watamkata mtama bureee!
eti kamanda mwe!! sasa huyu babu ukamanda alikuwa ana uperform vipi ... mtu unamiaka 100?
Anakata kiuno kama wewe?Ukiona mtu anaanza matusi ujue mkuki umejikita makalioni mwake.
Na wewe vivyo, ni pole tu na huu ni mwanzo.
Mkaribisheni huyo mzee kwa maandamano na mbwe mbwe na awanengulie kiuno cha uzeeni!
Huko alikoMwalimu anacheeeeka!
Anakata kiuno kama wewe?
Kingunge anafanya nini huko ccm wata mchochoa bure mzee wawatu atoke tu kwa amani
Hiyo kali waasisi wanavuliwa
Nikweli kabisa hata mama yako anajua baba shughuli yakekama baba yako anavyovikata sasa hivi.