Mipango inafanywa na iko mbioni kukamilika ambapo mwanasiasa mkongwe na mahiri nchini Kingunge Ngombale Mwiru atalitikisa anga la Tanzania kwa chopa. Ziara yake itaanzia kanda ya ziwa kuwaeleza watanzania jinsi Ccm ilivyoishiwa pumzi.
Mipango inafanywa na iko mbioni kukamilika ambapo mwanasiasa mkongwe na mahiri nchini Kingunge Ngombale Mwiru atalitikisa anga la Tanzania kwa chopa. Ziara yake itaanzia kanda ya ziwa kuwaeleza watanzania jinsi Ccm ilivyoishiwa pumzi.
Hicho kizee kweli kina wafuasi?
Kingewezaje kukaa Ccm kwa miaka 61?
Hicho kizee kweli kina wafuasi?
Hicho kizee kweli kina wafuasi?
Sasa kama hicho kizee kimekaa ccm miaka 61 inamaana ndio kimeiharibu ccm kwa kulea mafisadi kiliowafuata huko chadema. Na hicho kizee nitashangaa sana kama nacho kitaungana na Sumaye kusema eti ccm haijafanya chochote kwa miaka 54 wakati kizee hicho kimekaa miaka 61!! nani wa kulaumiwa? Kizee hata kifanye nini kizee kimechelewa na wananchi wameshafanya maamuzi, LOWASA OUT......!
Acha maneno ya kejeli zombie wewe vinginevyo uwe umejijua kuwa utakufa kabla hujazeeka vinginevyo jiandae kuitwa hivyo hivyo
Si tu hakina wafuasi.Kilikuwa kinajulikana zaidi kwa viongozi wenzie wa CCM wa juu lakini sio wanachama.Hata kwao Kipatimu hawakijui wanaokijua ni wazee wachache walio sawa na umri wake.
Hata CCM walishakibwaga muda mrefu kwenye uongozi.Wakati wa mchakato kumtafuta mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM hicho kizee hakikuwa mjumbe wa kamati kuu,halmashauri kuu wala mkutano mkuu.Ukisikia kinasema taratibu hazikufuatwa ni kwa kuambiwa na Lowassa.Chenyewe hakijui yaliyoendelea ndani ya vikao zaidi ya kuambiwa.Hakana original data.Waandishi wa habari wakabane wakaulize ulijuaje mchakato ulivyokwenda wakati wewe si mshiriki wa vikao.
Hako kazee hakana nguvu kisiasa kama kanavyojinadi kangekuwa na nguvu ya kisiasa Lowasa asingekatwa jina na CCM.Ni kazee fulani kababaishaji ka mjini.
Si tu hakina wafuasi.Kilikuwa kinajulikana zaidi kwa viongozi wenzie wa CCM wa juu lakini sio wanachama.Hata kwao Kipatimu hawakijui wanaokijua ni wazee wachache walio sawa na umri wake.
Hata CCM walishakibwaga muda mrefu kwenye uongozi.Wakati wa mchakato kumtafuta mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM hicho kizee hakikuwa mjumbe wa kamati kuu,halmashauri kuu wala mkutano mkuu.Ukisikia kinasema taratibu hazikufuatwa ni kwa kuambiwa na Lowassa.Chenyewe hakijui yaliyoendelea ndani ya vikao zaidi ya kuambiwa.Hakana original data.Waandishi wa habari wakabane wakaulize ulijuaje mchakato ulivyokwenda wakati wewe si mshiriki wa vikao.
Hako kazee hakana nguvu kisiasa kama kanavyojinadi kangekuwa na nguvu ya kisiasa Lowasa asingekatwa jina na CCM.Ni kazee fulani kababaishaji ka mjini.
Sasa kama hicho kizee kimekaa ccm miaka 61 inamaana ndio kimeiharibu ccm kwa kulea mafisadi kiliowafuata huko chadema. Na hicho kizee nitashangaa sana kama nacho kitaungana na Sumaye kusema eti ccm haijafanya chochote kwa miaka 54 wakati kizee hicho kimekaa miaka 61!! nani wa kulaumiwa? Kizee hata kifanye nini kizee kimechelewa na wananchi wameshafanya maamuzi, LOWASA OUT......!
Si tu hakina wafuasi.Kilikuwa kinajulikana zaidi kwa viongozi wenzie wa CCM wa juu lakini sio wanachama.Hata kwao Kipatimu hawakijui wanaokijua ni wazee wachache walio sawa na umri wake.
Hata CCM walishakibwaga muda mrefu kwenye uongozi.Wakati wa mchakato kumtafuta mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM hicho kizee hakikuwa mjumbe wa kamati kuu,halmashauri kuu wala mkutano mkuu.Ukisikia kinasema taratibu hazikufuatwa ni kwa kuambiwa na Lowassa.Chenyewe hakijui yaliyoendelea ndani ya vikao zaidi ya kuambiwa.Hakana original data.Waandishi wa habari wakabane wakaulize ulijuaje mchakato ulivyokwenda wakati wewe si mshiriki wa vikao.
Hako kazee hakana nguvu kisiasa kama kanavyojinadi kangekuwa na nguvu ya kisiasa Lowasa asingekatwa jina na CCM.Ni kazee fulani kababaishaji ka mjini.
Mafisiem kwa akili za kushikiwa na kuigaiaga ni sheeeeda, UKAWA wanasema "CCM OUT" na wewe eti unasema "LOWASA OUT" kwani LOWASA alikuwa in gani? CCM ndio wako in ya Ikulu hivyo wanatakiwa watolewe OUT.
Hicho kizee kweli kina wafuasi?