little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,398
- 2,465
Sahihi kabisaa hao hao Trc ni mwaka 2013 na 2015 waliletewa vichwa vipya kabisa vya treni kutoka marekani katika kampuni ya Electromotive Diesel (EMD) ni vya kisasa kabisa ila kavitazame leo.kwa speed ya treni inawezekana, lakini bahati mbaya tatizo letu watz speed sio kigezo wala tatizo... usimamizi wake ndio utaashangaa na wala hautaamini macho yako...
rejea mradi wa mwendokasi.
Pia serekali yetu ilinunua mabehewa mapya ya abiria toka Korea kusini bila shaka 2015 ambayo Leo hii wanayatumia katika treni yao wanaiita deluxe yatazame leo hii yalivyo.
Yani huwa inaniumiza na kunisikitisha sana huwa kutunza hatuwezi kabisa ni kuharibu tu.
Rejea pia reli ya TAZARA ilikuwa na system za kisasa kabisa katika kuongozea treni nyakati hizo ila leo pia angalia kama Kuna hata signaling light moja inafanya kazi tunachojua ni kuharibu haribu tu na kurudishana nyuma.
INAUDHI SANA hivi vichwa sijui vina tatizo gani.