Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 6,925
- 7,936
Najuuta kununua ZUKU.
polee kabla ya kununua unhekuja JF upate ushauri
Najuuta kununua ZUKU.
King'amuzi 99,000 hafu ina vifurushi vya aina 3, cha tsh 30,000 na cha 20,000 na cha 13,000 kwa mwezi
azamTV balaa
Usipolipia huduma unayotakiwa kulipia na kusababisha hasara kwa taifa huo ndo wizi na ufisadi. piga vita wizi na ufisadi!Aisee ,ngoja nione walai
Kwanza una video ya namna gai...!!!!!!!?
Maana usije kuomba ushauri na chogo lako la nchi 14
Ukasumbua watu hapa
Tena kiko powa sana, 168 channels EPL, La Liga ndani. Usipolipia hakuna shida unapata ZBC, ZCTV halafu kwa siye ma-ustaadh za Dini zipo bwerere!hiki king'amuzi ni cha zanzibar tu
Wana JF naombeni msaada wa mawazo nataka nimchukulie bi mkubwa king'amuzi ili naye awe karibu na ulimwengu.. Je ni kin'gamuzi kipi kitacho mfaa kwa mazingira ya kijijini?
Natanguliza shukrani
Azam ni noma sana,wapo vizuri.Nilitumia cha star times,nikatupa kule.
hahaa et watu wanalipia zuku, hebu chek kama una kaujuz kidogo tu kakuformat channelz zote za zuku na kuziscan fanya hiv. ..1. Format channelz zote na itabak au zitabak zile za default. 2. Tega decoder yako kwenye search mode 3. Panda kwenye dish, hapo ulipotegea zuku shusha dish kidogo sana kama sm3 hivi alafu funga vizur. 4. Scan decoder yako enjoy