Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Eti jaman naskia matangazo kwenye Radio kuhusu king'amuzi cha ZUKU wanadai eti ni kizuri halafu kina channel kama 70 hv,
kwa aliyek2mia naomba atueleze ubora wa hiki king'amuzi na jins gani kinafanya kaz JE na hicho 2nalipia kama startime? Kama kitakuwa kizuri niko mlangon kuachana na huyu mchina wa start time.!
NATANGULIZA SHUKRAN
kwa aliyek2mia naomba atueleze ubora wa hiki king'amuzi na jins gani kinafanya kaz JE na hicho 2nalipia kama startime? Kama kitakuwa kizuri niko mlangon kuachana na huyu mchina wa start time.!
NATANGULIZA SHUKRAN