Arselona
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 643
- 153
zuku tv unapata citizen .ubc .itv na tbc zilikua zinapatikana ila zimekata toka majuzi zitaludi zuku tv ni zaidi ya startime na ting wao ni wakali wanatumia mpeg4 risiva
kama ni mpeg4 receiver tu, TING ni kiboko kwani yenyewe ni mpeg4 pia na zaidi unaweza kui2mia kunasa satelaiti yoyote inayopatikana katika eneo lako,kurekodi vipindi kupitia usb,kuplay back video ulivyohifadhi kwenye hdd, smartcard port,ukiweka modem inakuwa conected ukipigiwa cmu kwa chip iliopo kwenye modem.aidha inaweza kurekodi programes wakati haupo nyumbani ili mradi 2 umeiset. zuku haiwezekani,dekoda zao kama dstv.ieleweke kwamba mm cna hisa na ting na chanels zao czipendi na cjawah kulipia hata mwezi m1 tangu nimenunua decoda yao(AAL-003)mwezi july 2011 ila nai2ma kama fta receiver na naifurahia kweli.inafanana sn na strong srt 4669x tofauti ni kwamba ...9x unaweza kuingiza biss keys kufungua scrambled channels.werevu mmenisoma, kazi kwenu.ukickia review hii imejitosheleza.binafsi it was a gamble to go 4 it lakini ss naona kuwa the best buy 4 an mpeg4 decoder.