King'amuzi cha StarTimes kimepoteza channel naomba msaada

King'amuzi cha StarTimes kimepoteza channel naomba msaada

mr smoke

Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
16
Reaction score
12
Habari wana JF wenzangu,

Naombeni msaada kwenye king'amuzi cha star times most of channel are not available even TBC na channel ten nnatumia antenna yao ya kawaida (yagi ulda) na nimelipia kifurushi still naona itv,star tv,eatv even tv1 haipo nipo maeneo ya mwika msae kilimanjaro.
 
Check kama majirani wanapata hizo channels kama hawapati pia basi wasiliana na startimes. Kama majirani wanapata hizo channels basi check signal kuwa iko ngapi mfano ni 56% (yaani nenda menu-system settings-signal status)

kisha nenda kwako set hadi kwenye signal status cheza na antenna mpaka signal iwe karibu na hiyo 56% baada ya hapo ingia menu -system settings-channel search-automatic search. Channels zitarudi kama hazirudi na signal ni nzuri wasiliana na startimes.
 
Back
Top Bottom