King'amuzi cha IPP (Digtek) kuanza rasmi Jumatatu!

King'amuzi cha IPP (Digtek) kuanza rasmi Jumatatu!

Habari nilizozipata jioni hii kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa BTL kuna tetesi kuwa wataviweka sokoni rasmi na washafunga mitambo yao. Ni full kuenjoy kwani unatumia antena ya ndani (indoor antena) si kama startimes. Bei zake zitaendana na ubora wao ni full HD, MP4, Waweza kurekodi vipindi.
Kwa mwezi utalipia 6000 na vitauzwa kwa sh.140,000.

.
Tanzania ni nchi ya waongo na usanii ndio maana imelaanika. Serikali ilikuwa imewahakikishia wananchi kuwa suala la upatikanaji habari litaendelea kuwa bure na hivyo wakasikika wakiagiza makampuni ya TV yatakayofunga vingamuzi kwamba ni sharti kila kingamuzi kiwe na zile free chanels. Sasa hivi tunaona ni tofauti kabisa kwani kila mwenye kingamuzi tunaona vikiwekewa kiwango cha mteja kulipia mwisho wa mwezi. Haya malipo ya mwisho wa mwezi ni kodi ya serikali au?
.
 
Alikuwa wapi siku zote hizo? TCRA hebu fungukeni, la sivyo hiyo teknlojia ya digital inaanza kuwa kero na mzigo kwa watanzania. Sasa mbona kila mtu anibuka na decorder yake kwa kisingizio cha ubora wa hali ya juu.

Tekinologia iliyo bora si ile inayofanya maisha kuwa magumu
.
 
Back
Top Bottom